Web

Ali Kiba "Siitaji Body Guard Mungu Atanilinda"

Msanii wa Bongofleva, Alikiba amesema kuwa kamwe hatokuja kuwa na bodyguard maishani mwake kwani haimsaidii kitu. Ameongeza kuwa mlinzi wake yeye ni Mungu.

" Hata nikiwa na mabodyguard 100 haisaidii kitu, mtu akitaka kuniua ataniua tu. Mimi sihitaji mabodyguard kwa sababu nalindwa na Mungu.. "

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad