Aliyekuwa Kocha wa Yanga Zahera Kurejea Nchini Asaini Mkataba


Aliyekuwa Kocha Mkuu wa klabu ya Yanga SC, Mwinyi Zahera amesaini mkataba wa kufundisha klabu ya Gwambina FC ambayo imepanda kucheza ligi kuu kuanzia msimu ujao.

Zahera aliandika ujumbe huo kupitia ukurasa wake wa Instragram majira ya usiku kuwa anarudi Tanzania kuungana na timu ya Gwambina ambayo itacheza ligi Kuu Tanzania bara Agosti 21, 2020.

Novemba 5, 2017 Klabu ya Yanga ilivunja mkataba wa Zahera pamoja na benchi nzima la ufundi sambamba na kuvunja kamati ya mashindano.


Zahera aliiongoza Klabu ya Yanga kwa miezi 15 akichukua nafasi ya ya Mzambia, George Lwandamina.
Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad