Carlinhos Apewa Namba ya Sibomana Yanga....



CARLOS Stenio Fernandes Guimaraes do Carmo maarufu kwa jina la Carlinhos, ndani ya Yanga amekabidhiwa jezi namba 11 iliyokuwa ikivaliwa na kiungo mshambuliaji wa timu hiyo, Patrick Sibomana raia wa Rwanda.

Sibomana ambaye mkataba wake umesitishwa na Yanga na kupewa mkono wa kwaheri, msimu uliopita alikuwa akiivaa jezi hiyo kabla ya kukabidhiwa Carlinhos.

Jana Jumatano wakati Carlinhos alipofika mazoezini kwa mara ya kwanza, alikaribishwa kwa staili ya kucheza mziki na kiungo mkabaji wa timu hiyo, Mkongomani, Mukoko Tonombe.

Pakua App ya Global kwenye Google Playstore, App Store. Utasoma Habari, Magazeti yote kutoka GPL
Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad