Harmonize,H Baba Wamfanyia Surpise Barnaba Classic


Wikiendi ilikuwa ndefu au busy sana kwenye upande wa burudani kutokana na yaliyotokea kuanzia Uwanja wa Uhuru ambapo zaidi ya wasanii 100 walifanya show kupitia chama ca Mapinduzi CCM pamoja na show aliyoifanya Barnaba.



Tuliangalie hili la Barnaba ambalo alitumia zaidi ya saa 3 stejini kufanya show ambayo ilihudhuriwa na mastaa kibao kama Harmonize, Gigy Money, Lulu Diva, H Baba, Country Boy, Linah, Aslay, Tunda , Whozu, Kusah, Beka Flavour , Chegge na Don Dada "Masha Love".

Kubwa ni suprise aliyofanyiwa Barnaba na wasanii wenzake ambao waliweza kumtunza pesa za kutosha wakati wa show hiyo, kwa harakaharaka unaweza kusema Barnaba amemwagiwa vibunda vya kutosha ambayo anaweza asifanye tena show mwaka huu na bado angebakiwa na pesa hizo.

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad