John Shibuda ateuliwa na NEC kugombea Urais wa Tanzania kupitia Chama cha ADA-TADEA


Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imewateua John Shibuda kugombea Urais wa Tanzania na mgombea mwenza, Hassan Kijogoo kugombea nafasi ya Makamu wa Rais wa Tanzania kupitia Chama cha ADA-TADEA

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad