Rais Uhuru Kenyatta ameongeza muda wa amri ya kutotoka nje usiku na kupiga marufuku uuzaji wa pombe katika migahawa ikiwa ni sehemu ya juhudi ya kudhibiti maambukizi ya COVID-19.
Rais Uhuru Kenyatta ameongeza muda wa amri ya kutotoka nje usiku na kupiga marufuku uuzaji wa pombe katika migahawa ikiwa ni sehemu ya juhudi ya kudhibiti maambukizi ya COVID-19.