Lulu Mwacha aongoza kura za maoni UVCCM Wabunge wa Viti Maalum Kundi la Vijana Tanzania Bara



 Wagombea wa nafasi ya Ubunge wa Viti Maalum(Vijana), waliofanikiwa kupenya kwenye nafasi 6 Tanzania Bara baada kuchaguliwa na Baraza kuu la UVCCM Taifa, Dodoma, (kura za maoni) ni hawa wafuatao.
1. Lulu Mwacha (Arusha) kura 77

2. Halima Bulembo (Kagera) kura 74

3. Juliana Masaburi (Mara) kura 70

4. Lucy (Simiyu) kura 48

5. Asia Halamga (Manyara) kura 33.

6. Judith Kapinga (Ruvuma) kura 33
Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad