Mwenyekiti wa NEC Jaji Mstaafu Semistolces Kaijage amemteua Leopold Mahona kuwa mgombea wa urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Ally Hamis kuwa mgombea wa kiti cha Makamu wa Rais kupitia tiketi ya chama cha NRA.
Mwenyekiti wa NEC Jaji Mstaafu Semistolces Kaijage amemteua Leopold Mahona kuwa mgombea wa urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Ally Hamis kuwa mgombea wa kiti cha Makamu wa Rais kupitia tiketi ya chama cha NRA.