NEC Yamteua Tundu Lissu Kuwa Mgombea Urais wa Tanzania Kupitia CHADEMA



Mwenyekiti wa NEC Jaji Mstaafu Semistolces Kaijage, amemteua Tundu Lissu kuwa Mgombea wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Salum Mwalimu kuwa mgombea wa nafasi ya Makamu wa Rais kupitia  CHADEMA.

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad