Nicolas Wadada apewa tuzo ya beki bora VPL



NICOLAS Wadada, beki wa Azam FC leo Agosti 7 amekabidhiwa tuzo ya beki bora kwa msimu wa 2019/20.


Wadada amewashinda wachezaji wenzake aliokuwa akipambana nao ambao ni Bakari Mwamnyeto wa Coastal Union mwenye bao moja na David Luhende wa Kagera Sugar mwenye pasi nne za mabao na amecheza mechi zote 38 za Ligi Kuu Bara.

Wadada amehusika kwenye jumla ya mabao tisa ya Azam FC akifunga bao moja na kutoa pasi moja kati ya mabao 52 yaliyofungwa na Azam FC iliyo nafasi ya tatu kwenye msimamo.
Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad