Obama atoa orodha ya nyimbo anazozisikiliza 2020, ukiwemo wa Wizkid



Rais wa zamani wa Marekani Barack Obama ametoa orodha yake ya nyimbo 2020

Smile, au tabasamuwimbo ulioimbwa na mwanamuziki wa Nigeria Wizkid, ni miongoni mwa nyimbo 53 zilizomo kwenye orodha hiyo.

Wengine ambao nyimbo zao zimo katika orodha hiyo ni Beyonce, Rihanna, Nas, J. Cole, Nina Simone na Frank Ocean.

Bwana Obama amesema kuwa baadhi ya nyimbo hizo zitachezwa wakati wakongamano la kitaifa la chama chaDemocratic cha wiki hii ambalo lilifunguliwa jana usiku.

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad