Rapper Frida Amani Afunguka Kuacha Utangazaji

Moja kati ya maswali ambayo yamekuwa mengi kitaa kumuhusu @fridaamaniofficial ni pamoja na hili la kuacha utangazaji! Ikiwa ni baada ya ukimya wa sauti yake kutawala kwenye media aliokuwa akiifanyia kazi kama mtangazaji.

Majibu ya Frida ni kuwa hajaacha utangazaji bali amepumzika na tegemea kukutana nae kwenye media any time soon kuanzia sasa.

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad