Rich Mavoko Afunguka Kusainiwa na Harmonize, Nilishangaa Sana Kuona Ameandika vile Hata Hakunipigia Simu (+Video)


Msanii wa muziki wa Bongo Fleva @tic hmavoko amefunguka kuhusu zile stori za kusainiwa na @harmonize_tz katika lebo ya @kondegang. Mavoko ameeleza kuwa yeye alishangaa kuona hizo habari mtandaoni huenda @harmonize_tz alijisikia kuandika tu maana ni mtu ambaye tangu zamani alikuwa rafiki yake hata wakati yupo WCB.

Mbali na hilo @richmavoko amezungumzia kuhusu kutumia akaunti yake ya Rich mavoko ambayo iliaminika ipo chini ya WCB na kuhusu kutumia nyimbo alizofanya chini ya @diamondplatnumz

 VIDEO:

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad