Somalia : Mlipuko wa kujitoa muhanga waua tisa na kujeruhi 20



Watu wasiopungua tisa wameuawa na takriban wengine 20 kujeruhiwa Jumamosi katika mlipuko wa bomu lililokuwa ndani ya gari mbele ya mlango wa kuingilia kwenye kituo cha kijeshi mjini Mogadishu, mashahidi na maafisa wa usalama wamesema.


Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad