Trump aondolewa ghafla na maafisa wa 'Secret Service' baada ya mtu kupigwa risasi karibu na White House



Rais wa Marekani Donald Trump, Jumatatu jioni kwa ghafla aliondolewa na maafisa wanaolinda usalama wake, kutoka kwenye chumba alimokuwa akiwahutubia waandishi wa habari ndani ya Ikulu mjini Washington, kufuatia kisa cha mtu kupigwa risasi karibu na ikulu hiyo.

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad