Waziri Avionya Vyama vya Siasa, Atoa Maagizo



Waziri wa Mambo ya Ndani George Simbachawene, amevionya vyama vinavyofanya siasa zenye viashiria vya kuvuruga amani na kuvitaka vyombo vya ulinzi na usalama kudhibiti jambo hilo bila kujali ni chama kipi kimefanya ili harakati za uchaguzi zisisababishe baadhi ya Watanzania kupoteza maisha.


Simbachawene ameyabainisha hayo akiwa mkoani Kigoma katika ziara yake ya kikazi, na kusema wanasiasa wasitumie wananchi kujitafutia umaarufu wa kisiasa na kuwa wana jukumu la kuhakikisha kila hatua wanayoifanya haileti madhara kwa wananchi.
Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad