Zitto: Wananchi Wanalalamika Malipo yao Kwenye zao la Ufuta


Kiongozi wa Chama cha ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe, amesema wananchi wa kijiji cha Nanjilinji wamelalamikia kutolipwa fedha zao za mazao.

Zitto aliandika ujumbe huo katika akaunti yake ya Twitter kuwa jana jioni alizungumza na wananchi wa kijiji hicho na kuanza kulalamikia fedha zao katika zao la ufuta.

“Katika hii huzalisha zaidi ya tani 4,000 za ufuta kwa mwaka wenye thamani ya zaidi ya sh bilioni kwa mwaka,” aliandika Zitto.
Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad