Breaking: Mwanafunzi Afukiwa na Kifusi Chato, Afariki




Mwanafunzi mmoja kati ya wanafunzi sita wa Shule ya Msingi Maweni iliyopo Kata ya Buseresere wilayani Chato mkoani Geita, amepoteza maisha baada ya kufukiwa na kifusi cha mchanga huku wengine watano wakiwa wanaendelea na matibabu katika Kituo cha Afya Katoro.

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad