JE, Unajua Wakati Gani ni Sahihi Kunywa Maji..!!!


Naamini kuwa wengi wetu tunafahamu umuhimu wa kunywa maji na tumekuwa tukisikia kutoka kwa wataalam wa afya kuhusu faida zake kiafya.

Sasa leo napenda tufahamu muda gani au wakati gani si sahihi kunywa maji:-

1. Hupaswi kunywa maji punde tu unapomaliza kazi au kukimbia.

2. Unaporudi tu kutoka kwenye shughuli zako

3.Hupaswi kunywa maji mara tu umalizapo kupata kifungua kinywa (chai) au kula chakula.

4. Pia hutakiwa kunywa maji katikati ya kifungua kinywa (chai) mlo.

Je, ni wakati gani sahihi kwa kunywa maji ?
1. Wakati tumbo lako halina kitu na unajiandaa kupata chakula.

2. Angalau saa 1 kabla ya kula au baada ya kula

3. Mara tu unapoamka asubuhi.

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad