Kumbukumbu ya Mauaji Mabaya Yaliyowahi Kutokea Duniani


Kumbukumbu ya miaka 50 tangu yatokee mauaji makubwa ya yanayofahamika kama My Lai yaliyotokea eneo la Son My nchini Vietnam.

Mnamo March 16, 1968 wanajeshi wa Marekani waliwaua watu 504 ambao walikuwa raia wa Vietnam na tukio hili lilitokea na kutambulika kama tukio la kutisha zaidi ambalo lilitokea wakati wa Vita ya Wavietnam.

Waliuawa wanawake, wanaume na watoto, huku idadi kubwa ya wanawake wakibakwa na kutendewa vitendo vya kikatili.

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad