Zuchu Afunguka Tetesi za Kutoka Kimapenzi na Boss wake Diamond Platnumz

 


Msanii wa Bongoflava Zuchu akanusha vikali skendo ya kutoka kimapenzi na Boss wake Diamond na wala haishi mjengoni kwa Diamond Platnumz kama watu wanavyodhani

Hii imekuja baada ya watu kuona ukaribu wao na jinsi Diamond Platnumz anavyotumia nguvu nyingi kumpromote tofauti na wasanii wengine alionao kwenye lebo ya wasafi

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad