Web

Zuchu: Watu wananisingizia eti mimi niko kwenye mahusiano na Boss wangu Diamond? Mungu ndio anajua (+Video)

 


Msanii wa muziki wa Bongo Fleva kutoka lebo ya WCB iliyopo chini ya @diamondplatnumz @officialzuchu ameweka wazi kuhusu taarifa zinaenezwa kuwa yupo kwenye mahusiano na Boss wake @diamondplatnumz . Mbali na hilo @officialzuchu pia amezungumzia sakata lake na @tanashadonna la kudaiwa kuiba wimbo na ku copy kila kitu kutoka kwa Tanasha.

VIDEO:


Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad