Anna Lupembe Wa CCM Ashinda Ubunge Jimbo la Nsimbo, Katavi



Msimamizi wa Uchaguzi Jimbo la Nsimbo, Mohamed Ramadhani, amemtangaza Ana Lupembe wa CCM kuwa mshindi wa kiti cha ubunge jimbo hilo kwa kupata kura 38,346, akifuatiwa na Philipo Malaki wa ACT Wazalendo ambaye amepata kura 1292.

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad