Bona Kamoli ashinda ubunge jimbo la Segerea



 Mbunge aliyekuwa anatetea kiti chake katika jimbo la Segerea kupitia CCM Bona Kamoli ametangazwa kushinda baada ya kumshinda mpinzani wake John Mrema wa CHADEMA kwa kura 76,828.

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad