Dr Tulia Ackson Atangazwa Mshindi Kiti cha Ubunge Mbeya Mjini

 


Mgombea ubunge kupitia CCM, Dkt. Tulia Ackson, ameibuka mshindi katika Jimbo la Mbeya Mjini kwa kupata kura 75,225 huku mpinzani wake Joseph Mbilinyi wa Chadema akipata kura 37,591.

Hivyo ametangazwa kuwa Mbunge wa Jimbo la Mbeya Mjini.

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad