Jesca Amsambaratisha Mch. Msigwa Iringa Mjini

 

Msimamizi wa uchaguzi Jimbo la Iringa Mjini amemtangaza Mgombea Ubunge wa Jimbo la Iringa Mjini kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Jesca Msambatavangu kuwa mshindi wa ubunge wa jimbo hilo kwa kupata kura 36,034 dhidi ya mpinzani wake Peter Msigwa Chadema aliyepata kura 19,331. Msigwa alikuwa akilitetea jimbo hilo aliloliongoza kwa miaka 10.

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Hongera Jesca Mama. Wanawake mnaweza.
    Ukitaka Sekletali KIBEKO yuko tayali

    Inasemekana Eti amepiga simu kuomba kujiunga Na Chama Teule.

    Wana Iringa tume kueleweni.
    Wa lokidowni muende kujiloki dauni.

    ReplyDelete

Top Post Ad

Below Post Ad