Ramadhani Sima ashinda ubunge Singida mjini



Msimamizi wa uchaguzi katika jimbo la singida mjini  amemtangaza  Ramadhani Sima wa CCM kuwa mshindi wa ubunge wa jimbo hilo kwa kupata kura 23,220 akifuatiwa na Rehema Nkoha wa Chadema aliyepata kura 15,467


Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad