Biden: Ni Aibu Kukataa Matokeo



RAIS  mteule wa Marekani,   Joe Biden, amesema hatua ya Rais Donald Trump kutokubali kushindwa katika uchaguzi wa urais wa wiki iliyopita ni “aibu” huku akisisitiza  kwamba hakuna kitu kitakachozuia uhamisho wa madaraka.

Huku hayo yakijiri Trump   amemfukuza kazi Waziri wa Ulinzi, Mark Esper, na kutangaza kwenye mtandao wa Twitter kwamba afisa huyo wa ngazi ya juu wa Marekani “amefukuzwa kazi”.   Hii ni baada ya wawili hao kutofautiana hadharani katika wiki za hivi karibuni.

Kitendo hicho kimetafsriwa kuwa Trump ana mpango wa kuivuruga Demokrasi ya Marekani  katika kipindi hicho ambacho bado yupo  madarakani

Tags

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Ehhhhh, mbona kazi..!!!
    huyu mwingine amesha kwea Pipa.

    Sijui ana nyumba ya kuweza kukaribisha
    wenzake toka mataifa mbali mbali..!!!

    Si ukubali uamuzi wa watu, mjenge Taifa.

    ReplyDelete

Top Post Ad

Below Post Ad