Ex wa Aunt Aibua Mambo Mtandaoni "Aunty Anapenda Sana Kutawala Wanaume"



HAYA mambo yakuachana halafu mnaanza kuongeleana vibaya mtandaoni si ushamba huu? Haya buana mapema wiki hii aliyekuwa mpenzi (EX) wa msanii wa filamu nchini Aunt Ezekiel, Alfo Alfo ameonekana kumkandia bidada kuwa hafai.

Alfo aliulizwa na shabiki mmoja huko mtandaoni kuwa kwanini aliachana na Aunt, ambapo alijibu kuwa sababu zipo nyingi ila moja ni kwamba mrembo huyo alikuwa anapenda sana kuwatawala wanaume lakini kwake haikuwezekana kwa hiyo ndio maana wakaachana.


“ Aunt like to control men, me Alfo no possible,” aliandika Alfo kwa kimombo.

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad