Mchekeshaji Elsa Majimbo Ashinda Tuzo za Watu za E!



Mchekeshaji wa Kenya Elsa Majimbo amewapiku wasanii kutoka nchi mbali mbali Afrika na kupata ushindi katika tuzo za E! people’s kipengele cha Nyota wa mitandao ya kijamii Afrika.

Mwanadada huyo machachari alikuwa akiwania kipengele hicho na watu saba akiwemo msanii nyota wa Afrika Kusini Sho Madjozi huku wengine ni Karl Kugelmann, Dimma Umeh, Wian, Lydia Forson, Thuso Mbedu na Zozi Tunzi.


Tuzo hizo ambazo hufanyika nchini Marekani mwaka huu zilifanyika kupitia mkutano wa Video utokana na janga la virusi corona.

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad