Mtoto Anasa Kwenye Kifusi , Akolewa Akiwa Hai



Mtoto wa miaka mitatu Elif Perincek ameokolewa akiwa hai, baada ya kunasa kwa zaidi ya saa 65 kwenye kifusi cha nyumba iliobomoka kutokana na tetemeko la ardhi lilitokea Ijumaa katika mji wa Izmir nchini Uturuki

Waziri wa Afya wa Uturiki Fahrettin Koca, amesema wazazi wa mtoto waliokolewa mapema lakini kwa bahati mbaya dada yake alikutwa amefariki.


Mpaka jana Novemba 1 vifo ambavyo vimeripotiwa kutokana tetemeko hilo vimefikia 69, na watu waliojeruhiwa ni 949.

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad