Mwimbaji Barnaba Afunguka Tatizo la Sauti Alilolipata Mpaka Kukimbilia Kwa Mchungaji


Mwimbaji @barnabaclassic ameeleza kwa urefu kuhusu tatizo la sauti ambalo lilimtokea hivi karibuni na kushindwa kuimba. Baada ya kumuona daktari, alimwambia itabidi apate tiba na itambidi akae miezi minne bila kuimba.


Lakini Mungu alimponya, Barnaba baada ya kufika kwa Mchungaji Boniface Mwamposa na kutumia mafuta yanayotolewa na Mchungaji huyo, alipona kabisa tatizo hilo ndani ya siku chache! Amesimulia yote

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad