Rais Magufuli kuhutubia bunge Ijumaa



 Rais wa Tanzania, Dkt John Magufuli atahutubia Bunge Ijumaa hii kuanzia saa tatu kamili asubuhi.

Akizungumza bungeni jijini Dodoma mapema leo hii Spika wa Bunge, Job Ndugai amesema desturi ya Bunge linapoanza mara baada ya kutoka katika uchaguzi kuna hotuba ya rais wa nchi kuhutubia watanzania.


“Ninawataka Ijumaa saa tatu kamili asubuhi kuhudhuria tukio hilo bila kukosa kumsikiliza mheshimiwa rais atakachosema” Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Job Ndugai

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad