Ratiba ya Michezo ya Ligi Kuu Leo



LEO Novemba 21, Ligi Kuu Tanzania Bara kuendelea kwa michezo minne kupigwa Kwenye viwanja vinne tofauti.

Mambo yapo namna hii:-


Polisi Tanzania v Ihefu, Azam Complex,  saa 8:00 mchana.


JKT Tanzania v Gwambina, Jamhuri Dodoma,  saa 8:00 mchana.


KMC v Azam FC,  saa 10:00 jioni, Uwanja wa Uhuru.


Coastal Union v Simba, Saa 10:00 jioni, Uwanja wa Sheikh Amri Abeid.

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad