Web

Serikali ya Ethiopia yaahidi kuwalında raia katika operesheni ya kijeshi Tigray




Waziri Mkuu wa Ethiopia Abiy Ahmed amewaambia wajumbe maalum wa Umoja wa Afrika serikali yake itawalinda raia, siku moja baada ya kutangaza jeshi la taifa linaanza awamu ya mwisho ya mashambulizi katika jimbo la Tigray.

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad