Serikali ya Ethiopia yaahidi kuwalında raia katika operesheni ya kijeshi Tigray
0Udaku SpecialNovember 27, 2020
Waziri Mkuu wa Ethiopia Abiy Ahmed amewaambia wajumbe maalum wa Umoja wa Afrika serikali yake itawalinda raia, siku moja baada ya kutangaza jeshi la taifa linaanza awamu ya mwisho ya mashambulizi katika jimbo la Tigray.