TAKUKURU yawashikilia watumishi wa NHIF kwa wizi wa ubadhilifu wa tsh milioni 500



Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa nchini (TAKUKURU), inawashikilia waliokuwa waajiriwa wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF), kwa tuhuma za wizi pamoja na ubadhirifu wa fedha zaidi ya shillingi za kitanzania Milioni 500.4, ambapo hatua za kisheria zitachukuliwa kwa watakaothibitika.




Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad