Bobi Wine bado ni tishio kisiasa kwa Yoweri Museveni




Mwanamuziki wa kizazi kipya aliyegeuka kuwa mwanasiasa azikonga nyoyo za wananchi wengi wa Uganda wenye kutaka mabadiliko kutokana na ujasiri wake wa kukabiliana na Rais Yoweri Museveni katika kinyang'anyiro cha uchaguzi mkuu 2021.
Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad