Madaktari Waonya Matumizi Holela ya Dawa za Panadol

 


Dar es Salaam. Madaktari nchini wameonya kukithiri kwa matumizi holela ya dawa za panadol wakieleza kuwa yanaweza kusababisha madhara makubwa ya kiafya kwa mtumiaji.


Wataalamu hao wameleeza kuwa utumiaji uliokithiri wa dawa hizo na kuzidisha kiwango ambacho mtu anatakiwa kutumiwa kwa siku pale anapokuwa na maumivu inaweza kumsababishia athari tano mwilini ikiwemo maumivu ya tumbo, kichefuchefu, kizunguzungu, rangi ya manjano kwenye macho na kuharibu ini.

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad