Mrembo Hamisa Mobetto Alia na Corona " Jamani Kila Nikitaka Kuolewa Ugonjwa wa Corona Unaingilia Mchongo"


Unaambiwa Ugonjwa wa Corona ndio anasababisha mpaka leo Hamisa Mobeto Hajaolewa , Mwenyewe ameamua kufunguka bila woga kupitia Insta Story yake 

Ameandika haya "Yaani Kila Nikitaka kuolewa Corona Hiyooo, Sijui Kwanini?"

 DOWNLOAD APP YA UDAKU SPECIAL HAPA KUPATA HIZI HABARI KWENYE SIMU YAKO HATA BILA BUNDLE

Mpaka Sasa haijajulikana ni nani muoaji japo amekuwa akihusishwa kutoka kimapenzi na Mfanya biashara Fred Vunja Bei



Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Piga Nyungu wiki hala nawa maji tiririka nunua barakoa vaa. na chupa mbili za covido na Bycaro. Harusi Hiyooo, TUNASHEREHEKEA.

    Hongera Mdada, Mungu akiandika Asumani Hapindui.

    Umesha mjulisha shemeji kwa Mwijaku..? Tufanye Fatiha.

    ReplyDelete

Top Post Ad

Below Post Ad