Patrick Kanumba akazia sakata la Mama Kanumba "Mama wa Marehemu Ameshamaliza Kila Kitu"

 


Ni 'headlines' za msanii wa filamu Othman Njaidi maarufu kama Patrick Kanumba ambaye ametoa 'comment' yake kuhusu kinachoendelea mitandaoni kati ya majibu aliyoyoyatoa Mama Kanumba kwa Elizabeth Michael kuhusu kifo cha mwanaye Steven Kanumba.


Kupitia EATV & EA Radio Digital, Patrick Kanumba amesema ni kweli alikuwa mtu wa karibu na marehemu Steven Kanumba ila tayari mama yake mzazi ameshasema hivyo hawezi kumpinga na hawezi kuwa upande wowote.

 DOWNLOAD APP YA UDAKU SPECIAL HAPA KUPATA HIZI HABARI KWENYE SIMU YAKO HATA BILA BUNDLE

"Mimi namjua Kanumba tu, nilikuwa mtu wake wa karibu na ananihusu, ila yule ndiyo mama wa marehemu na ameshamaliza kila kitu hivyo siwezi kupinga wala kuwa upande wowote kwa sababu ameshatangulia hivyo tuendelee kumuenzi marehemu" amesema Patrick Kanumba 



Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad