Ujumbe wa Rais Biden kwa viongozi wa Umoja wa Afrika



Uongozi wa Rais Joe Biden na Makamu Rais Kamala Harris umeahidi kushirikiana na Umoja wa Afrika ili kufikia azma yao ya pamoja ya mustakbali uliokuwa bora wakati Biden akihutubia mkutano wa viongozi wa umoja huo kwa njia ya mawasiliano ya mtandao.

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad