Unaambiwa Baby Mamas Wote wa Mondi Bado Wanampenda Mondi Kupita Kiasi


Ingawa wameachana lakini inavyosemekana karibia baby mamas wote wa Diamond bado wanamtaka superstar huyo Bongofleva ila Diamond ndie bado hajaamua kutulia moja kwa moja na mwanamke mmoja hivyo Zari, Mobetto na Tanasha kuwa njia panda hata pale mmojawapo anapotaka kurudisha majeshi rasmi kwa Mond na ukiongezea drama za reja reja zinazotokeaga mitandaoni kati ya Mond na baby mamas wake hao.


 DOWNLOAD APP YA UDAKU SPECIAL HAPA KUPATA HIZI HABARI KWENYE SIMU YAKO HATA BILA BUNDLE

Kiumjula ,Inadaiwa wanawake wote wa Mond wanapenda umaarufu wa kutrend mitandaoni kwa kuhusishwa na Mond huku Mond mwenyewe akiwa mtu wa matukio hata kama kwasasa wameachana

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad