Web

Zuchu aweka rekodi mpya Africa kwa wasanii wa kike wa muziki

 


Leo record mpya imeandikwa na Zuchu katika bara la Africa.


Amekuwa msanii wa kwanza wa kike kufikisha views million 1 kwenye YouTube ndani ya masaa 22.


Hongera queen wa bongofleva.



Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad