Mahakama yamuamuru Rais wa Brazil kumlipa fidia mwandishi kwa kumdhalilisha



Mahakama Nchini Brazil imemuamuru Rais Jair Bolsonaro kumlipa fidia Mwandishi wa Habari wa kike kwa kumtolea maneno ya kumdhalilisha

Rais Bolsonaro alitoa kauli dhidi ya Patricia Campos Mello wa gazeti la Folha de S.Paulo, akidai alihonga rushwa ya ngono kwa chanzo chake cha Habari ili kimpe taarifa zenye mlengo hasi dhidi yake


Jaji amesema maneno ya Rais Bolsonaro yalilenga kumvunjia heshima Mwandishi huyo na aliamua amlipe Dola 3,473 (Takriban Tsh. 8,053,887) kama fidia, na anaweza kukata rufaa dhidi ya uamuzi huo.

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad