Rais mpya Samia awataka Watanzania waungane




Rais mpya wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amesema hivi leo kuwa nchi ni vyema iungane pamoja na kuepuka kunyoosheana vidole baada ya kifo cha John Magufuli, na kulisihi taifa hilo la Afrika Mashariki kuangalia mbele kwa matumaini na imani.

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad