Gwajima Aomba Kuhojiwa Akiwa Amesisima, Agomea Kiti





Askofu Josephat Gwajima ambaye ni Mbunge wa Jimbo la Kawe baada ya kuingia kwenye kamati ya Haki Maadili Na Madaraka ya Bunge leo Agosti 25, 2021 amegoma kukaa kwenye kiti alichoandaliwa na kukisogeza pembeni.
 
Alipoulizwa na mwenyekiti Emanuel Mwakasaka kwanini hataki kukukaa alisema leo atasimama kwakuwa amezoea kusimama mara nyingi.

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad