Ubingwa Yanga back2back mara 10, Manara amekuja na ubingwa wa Simba mara 6



Hayo ni maneno ya shabiki wa Yanga mbele ya makao makuu ya klabu hiyo yaliyopo mitaa ya Jangwani akieleza kuwa wao kwa sasa hata aje PSG yenye Messi, Neymar na Mpappe kwa Mkapa hawatoki.

Shabiki huyo pia amekitaja kikosi cha Wananchi Yanga kitakachomgaragaza mpinzani wao Simba tarehe 25 kwenye ngao ya jamii


Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad