Dully Sykes afunguka ishu yake na Harmonize

 


Legend wa BongoFlava Dully Sykes 'Brotherman' anasema Harmonize ni kijana wake kama walivyo vijana wake wengine na hana tatizo naye kama inavyochukuliwa na watu.

Dully Sykes ameongeza kusema baadhi ya watu mitaani na mitandaoni ndio wanasababisha maneno na story zinazoendelea ila kwao hawana tatizo lolote na ikitokea kufanya kazi nyingine na Harmonize wataifanya.

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad