Female Rapper Rosa Ree Atamani Kuitwa Mama Baada ya Kuvalishwa Pete, Mtangazaji wa Wasafi Ashtukia Kitumbo



Female rapper mkali kwa michano kutoka kiwanda cha muziki wa BongoFleva @rosa_ree ameweka wazi matamanio yake ya kutaka kuwa mama.

Roza ambae kwa sasa yupo katika mahaba mazito amefunguka hayo katika kipindi cha BigSundayLive kinchorushwa na Wasafi tv baada ya Mtangazaji wa kipindi hicho kushtukia kuwa kitumbo cha Rosa Ree Kimekuwa Kikubwa ila Rosa REE Alikana kuwa hana Mimba  kwa kueleza kuwa kama mipango ya Mungu ikitimia, bhasi angependa kua Mama.

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad