Haji Manara Afunguka Kuhusu Kifo Cha Hans Pop "Nimechelewa Sana Kusikia Taarifa za Huu Msiba"


Ameandika Haji Manara:

"Nimechelewa sana kusikia taarifa za huu msiba wa mzee wetu Zacharia ,,,
Imenifadhaisha sana na imeniondolea Mood yangu,,,,

Kwangu alikuwa Mwanamichezo halisi shupavu na ameacha pengo kubwa Kwa mpira wetu na klabu yake Kwa ujumla,,,

Pumzika Kwa amani Captain"

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad